Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini awavaa Zitto na Kafulila......Adai ni WASHENZI na wala Rushwa, Asisitiza Kafulila ni TUMBILI tu

$
0
0
SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno makali, wabunge wawili Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi).  FikraPevu ilikuwapo wakati Maswi akitumia maneno makali kwa kuyarudia,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>