Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu watatu wafariki dunia, kumi wajeruhiwa katika Ajali Ya Noah mkoani Singida

$
0
0
Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kupasuka tairi ya nyuma na kubiringita mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida.    Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Singida daktari Deogratias Banubasi amesema wamepokea maiti mbili wakiwa wamesha fariki eneo la tukio akiwemo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>