Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mauaji yaelekezwa CCM......Mwenyekiti wa CCM kata ya Busambala Butiama auawa kinyama

$
0
0
Watu  wanaodhaniwa  kuwa ni majambazi wamemuua kinyama kwa kupiga  risasi moja ya kichwani mwenyekiti  wa chama cha mapinduzi  kata ya Busambala wilayani Butiama mkoani Mara Bw Willison Opio mwenye umri wa miaka 60 huku kichwa chake kikisambaratishwa  kabisa na risasi hiyo.   Mauaji hayo ya  kinyama yamefanyika saa saba usiku wa kuamkia jana,baada ya majambazi hayo kuvunja milango ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>