Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahari yazua balaa msibani.....Baba wa mtoto azuiwa kuzika, ngumi zafumuka.....Kaburi lafukiwa, mwili warudishwa Mochwari

$
0
0
FAMILIA mbili mjini Mpanda zimejikuta zikiingia katika uhasama mkubwa, kiasi cha kupigana fimbo na ngumi makaburini katika ugomvi wa kugombea kuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.   Sababu kubwa ya mpasuko huo imeelezwa kuwa ni mahari, kwani wazazi wa  upande wa mama wa mtoto huyo walikuja juu na kumzuia baba wa mtoto, Joseph Bacho mkazi wa Mtaa wa Kawajense- Madukani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>