Hii ilikua siku nyingine muhimu kwa Tanzania na Africa kwa ujumla
ambapo yalikua yanasubiriwa matokeo ya tuzo ya BET sanasana kipengele
wanachowania tuzo wasanii wa Afrika akiwemo Diamond Platnumz.
Davido kutoka Nigeria ndio amethibitisha kuwa mshindi wa tuzo hii
ambapo kupitia page yake ya Instagram amewashukuru mashabiki na kuelezea
furaha yake.
Tuzo hii ilikua inawaniwa na
↧