Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na
hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye
sumu kali na nyuki kuwashambulia.
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha
kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi
sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka
↧