Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la Nafasi za Mafunzo na Kazi toka RafikiElimu Foundation.....Ada ya...

Taasisi  ya  RafikiElimu  Foundation  kupitia  MRADI  WA  WANAWAKE  SALAMA  TANZANIA  inatangaza  nafasi  za  mafunzo  ya  UANDAAJI  NA  UTENGENEZAJI  WA  VYAKULA-LISHE MAALUMU KWA  WAGONJWA NA  WENYE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pongezi kubwa kwa Jeshi la Polisi: Majambazi mawili Yauawa Geita baada ya...

Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na bunduki aina ya SMG na bastola waliokuwa wakitumia pikipiki aina ya Sanlg yenye namba T460 CVQ wamevamia duka la Mpesa na kumuua mfanyabiashara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama ya Malaysia yazuia kanisa katoliki kutumia neno 'Allah' kumaanisha...

Mahakama ya juu zaidi nchini Malaysia imelikataa ombi la kanisa katoliki nchini humo kubadili msimamo wake ili liweze kutumia neno ‘Allah’ kumaanisha Mungu kwa lugha ya kiarabu.   Hata hivyo baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nando atangaza kuacha kutumia dawa za kulevya (unga)....Asema bado anatumia...

Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Ammy Nando ameweka wazi kuwa alikuwa mmoja kati ya waathirika wa dawa za kulevya.   Akiongea katika kipindi cha Hatua Tatu ha 100.5 Times Fm,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kimenuka CHADEMA: Tazama Picha 7 za Wanachama wa chama hicho wakiandamana na...

Ikiwa ni siku ya tatu tangu katibu wa Chadema mkoa wa Tabora kwa niaba ya wajumbe 82  kwa pamoja kuzungumzia maswala mbali mbali waliyosema yanatishia ustawi wa chadema, leo wameenda kwa msajiri wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya tarehe 26 Juni 2014

                                  Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  tarehe  26  Juni  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Werema amfananisha Mbunge Kafulila na TUMBILI.....Tafrani yaibuka,...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.   Kabla ya kutoa kauli hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Team Wema, Team Kajala Kuvunjwa.....Yadaiwa ndo chanzo cha Ugomvi wa Wema...

Makundi  mawili  hasim  ya  wasanii  wa  filamu  Bongo, Wema  Sepetu  na  Kajala  Masanja  yajulikanayo  kama  'Wema  Team'  na  'Kajala  Team'  yanatarajiwa  kuvunjwa  kwani  ndio  yameonekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ kuanika tena zana zake za Kivita jijini Dar katika kongamano kubwa la...

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajiwa kufanya maonesho ya zana zake za kivita zinazotumiwa na askari wa nchi kavu kuanzia Julai 14 hadi 16, mwaka huu wakati wa kongamano kubwa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael, Tumuamini nani?......Kwa hili nakuona haupo Serious

Alisema  eti  aachwe  kwanza, eti  baada  ya  ule  mkasa  hataki  kabisa  kusikia  habari  za  mapenzi.Amini  usiamini , haukupita  muda  mrefu  skendo  za  mapenzi  zikaanza  kuvuma  tena. Tukaanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diana Kimaro akimbilia Shule, Amuacha Lulu akipigika mtaani.

Baada  ya  kuwa  marafiki  kwa  muda  mrefu, Diana  ameamua  kumwacha  mwenzake Lulu   kwenye  mitaa  akipiga  misele  na  yeye  kukimbilia  shule  kuendelea  na  kidato  cha  tano..... Diana  amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa wa Wizi wa Pikipiki aokolewa na Askari Polisi Moshi

Askari polisi wa kituo kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumuokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao walikwishaanza kujichukulia sheria mkononi kwa kumuadhibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Kanusho la kufariki kwa Mbunge Shukuru Kawambwa

Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Mkuu CUF: Profesa Lipumba na Maalim Seif WAPETA katika nafasi zao za...

Mkutano Mkuu wa CUF Taifa umemchagua tena Katibu Mkuu wa Chama hicho kuendelea na wadhifa huo kwa kupata kura 675, sawa na asilimia 99.5 ya kura zilizopigwa.    Mkutano huo pia umemchagua Prof. Ibrahim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheki hii picha ya Professor Jay akiwa enzi zake za zamani

Hii  ni  Picha  ya Professor Jay ambayo  kaishare ikimuonyesha yupo na mdogo wake enzi zao za zamani.   <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ndiyo nguo atakayovaa Diamond kwenye red Carpet ya BET Awards

BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. Diamond atapita kwenye Red Carpet itakayo tumiwa na wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu Ya Diamond Kwa Wanaodai Aliwaibia Nyimbo Ukiwemo Mdogomdogo alioutoa juzi

Mwanamuziki Diamond amefunguka kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kuwa aliwaibia idea au nyimbo zao na kuzifanya zake.   Ameeleza kuwa malalamiko yao hayana ukweli kwa kuwa kuna maneno  ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Mwanafunzi wa darasa la Saba aliyebakwa na kulawitiwa na wanaume...

Denti mmoja wa kike wa darasa la saba anayesoma katika Shule ya Msingi Chanzige B iliyopo Kisarawe, Pwani amejikuta katika wakati mgumu baada ya kulawitiwa na kusababishiwa maumivu makali sehemu zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yapiga Marufuku tabia ya Trafiki kuvizia magari barabarani kwa...

Serikali imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwa na kifaa cha kupima mwendo kasi wa magari.   Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu na Penny Wagongana Studio.....Kila mmoja amkwepa mwenzake

Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>