Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kimenuka CHADEMA: Tazama Picha 7 za Wanachama wa chama hicho wakiandamana na Mabango kupeleka barua kwa Mkaguzi wa Hesabu za Serikali [CAG] na msajiri wa vyama vya siasa.

$
0
0
Ikiwa ni siku ya tatu tangu katibu wa Chadema mkoa wa Tabora kwa niaba ya wajumbe 82  kwa pamoja kuzungumzia maswala mbali mbali waliyosema yanatishia ustawi wa chadema, leo wameenda kwa msajiri wa vyama pamoja na mkaguzi wa mahesabu ya serikali CAG.    Mapema leo wamekwenda kwenye ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa na kukabidhi barua yenye malalaiko mbali mbali juu ya walichokisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>