Denti mmoja wa kike wa darasa la saba anayesoma katika Shule ya
Msingi Chanzige B iliyopo Kisarawe, Pwani amejikuta katika wakati mgumu
baada ya kulawitiwa na kusababishiwa maumivu makali sehemu zake za siri.
Simulizi ya binti huyo inayouma sana, inaeleza kuwa denti huyo
alifanyiwa unyama huo na vijana watatu ambao bado hawajafahamika majina
yao mara moja lakini amekuwa akimtaja
↧