Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majibu Ya Diamond Kwa Wanaodai Aliwaibia Nyimbo Ukiwemo Mdogomdogo alioutoa juzi

$
0
0
Mwanamuziki Diamond amefunguka kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kuwa aliwaibia idea au nyimbo zao na kuzifanya zake.   Ameeleza kuwa malalamiko yao hayana ukweli kwa kuwa kuna maneno  ambayo yamezoeleka na yanaweza kutumiwa na watu wote lakini anapoyatumia hutokea msanii aliyetumia maneno kama yale na kudai kuwa ameiba idea yake. Ametoa mfano wa nyimbo kama Moyo Wangu ambao anasema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles