Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahakama ya Malaysia yazuia kanisa katoliki kutumia neno 'Allah' kumaanisha Mungu

$
0
0
Mahakama ya juu zaidi nchini Malaysia imelikataa ombi la kanisa katoliki nchini humo kubadili msimamo wake ili liweze kutumia neno ‘Allah’ kumaanisha Mungu kwa lugha ya kiarabu.   Hata hivyo baada ya mahakama hiyo kutoa amri yake, serikali ya nchi hiyo ilitoa tamko lake kwa vyombo vya habari Jumatatu wiki hii ikieleza kuwa amri hiyo ya mahakama itatumika tu kwenye magazeti ya kanisa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>