Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama Vingi Vya Siasa nchini Vyamkuna Rais Kikwete....Asema vimeleta...

Rais Jakaya Kikwete amesema mfumo wa vyama vingi vya siasa ni mzuri, umeleta matumaini kwa kupanua wigo na kufungua zaidi uwanja wa kisiasa na kuiwajibisha Serikali.   Hata hivyo, Rais Kikwete amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Malawi aoa kwa Shilingi Milioni 155

Baada ya miaka 30 ya kuishi bila ya ndoa, Rais mpya wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, hatimaye amefunga pingu za maisha na mbunge wa zamani wa Jimbo la Balaka, Gertrude Maseko.   Kabla ya ndoa yao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skendo zamuhamisha nchi Agness Masogange

Siku chache baada ya Agness Gerard 'Masogange' kukimbilia nchini Afrika Kusini 'Sauzi' kwa kile alichodai ni kutafuta maisha mazuri, rafiki wake wa karibu  aliyejitambulisha kwa jina la Jenifer...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Kenya yawataka Wakenya kuangalia mechi za Kombe la dunia nyumbani.

Serikali ya Kenya imewataka wananchi kuangalia mechi za michuano ya kombe la dunia katika maeneo ya majumbani badala ya sehemu za wazi zilizojazana na ambazo hakuna ulinzi.   Ushauri huo umetolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Uganda baada ya kuwekewa vikwazo na Marekani kwa kupinga ushoga

Katibu mkuu wizara ya mambo ya nje wa Uganda, Balozi James Mugume, amesema kuwa Uganda haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kama hatua ya kupinga sheria yake kali kuhusu Ushoga.   Kwa mujibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Afunguka Kwa Uchungu baada Ya watu Kumtukana Mama Yake Mzazi

Wema Sepetu ameonekana kufungukia wale wanaomtukana kila siku na sasa kufikia hatua ya kumtukana hadi mama yake mzazi... Kupita mtandao mmoja wa kijamii, Picha  moja  ya  mama  mzazi  wa  Wema  Sepetu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbasha Anena: Asema Maisha ya Jela hayafai hata kidogo

Kufuatia  Mahakama  ya  Ilala  jijini  Dar  kumuachia  kwa  dhamaa  Emmanuel  Mbasha  ambaye  ni  mume  wa  muimbaji  wa  nyimbo  za  Injili  maarufu  nchini  Flora  Mbasha  anayekabiliwa  na  tuhuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge

Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.    Katika hali isiyo ya kawaida, boksi la kondomu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Reginald Mengi Akava Jarida La Forbes Africa La July.... K-Lyinn...

Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP, Dr. Reginald Mengi amekava jarida la Forbes Africa la mwezi July kama mfanyabiashara aliyefanikiwa zaidi kutoka kutembea peku hadi kuwa na utajiri wa zaidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni Mbili za Umeme kuanzishwa badala ya TANESCO

Mpango wa kuligawa Shirika la Umeme (Tanesco) kuwa mashirika mawili umeiva,  baada ya Serikali kupitisha Mkakati na Mwelekeo wa Sekta Ndogo ya Umeme (ESI).   Mpango huo utekelezaji wake unaanza Agosti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wiki ya Majibu ya Waziri wa Fedha Yaanza

 Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, anasubiriwa wiki hii kutegua kitendawili cha hoja za wabunge, kuhusu punguzo la kodi katika mishahara,  vyanzo vipya vya mapato na utekelezaji wa miradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sekretarieti ya Ajira Yazipa Rungu Serikali za Mitaa

Serikali za mitaa zitaruhusiwa kuanza kuajiri watumishi wa baadhi ya kada za chini katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.   Akihojiwa katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwenye viwanja vya Mnazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Majuto: Maisha Yangu ni Komedi tosha

Mchekeshaji  wa  muda  mrefu  Amri  Athuman  'Mzee  Majuto'  ametoa  kali  ya  mwaka  baada  ya  kusema  kuwa  maisha  yake  ni  komedi  tosha  kutokana  na  kumvunja  mtu  mbavu bila  kujali  yuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ni Aina Mpya ya Uhalifu wa Kimtandao inayokuja kwa Kasi nchini Tanzania

Miongoni mwa makosa yanayofanyika  mtandaoni  ni hili  lijulikanalo kama “Phishing” ambapo kosa hili limekuwa likidumu na  kukua  kwa  kasi  sana  katika nchi mbali mbali. Nchi mbali mbali zimechukulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 23 Juni 2014

                      Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  tarehe  23  Juni  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa anusurika Kunyofolewa Jicho baada ya kufumaniwa akingonoka na Mke wa...

Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichanga Chatupwa kwenye Dampo la Taka

Kichanga kinachokadilwa kuwa na umri wa miezi kati ya 6-7 kimekutwa kimetupwa kwenye dambo karibu na mahakama ya mwanzo mkabala na ofisi za manispaa ya Iringa, mkoani Iringa na mwanamke mmoja ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ya Kiisilamu na...

Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru.   Wakili wake ameambia BBC kuwa mwanamke huyo aliyekiuka dini kwa kwa kuolewa na mwanamume mkristo aliachiliwa huru Jumatatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto kuanzia Umri wa Miaka 10 wataanza kupewa Kondomu Bure na dawa za...

Kuna sheria mpya inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Senet ambayo sheria hiyo itawaruhusu watoto kuanzia miaka 10 kupewa mipira ya kondomu na dawa za kupanga uzazi.  Sheria ya afya ya uzazi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 24 Juni 2014

                                  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe  24  Juni  2014

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>