Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto kuanzia Umri wa Miaka 10 wataanza kupewa Kondomu Bure na dawa za kupanga Uzazi

$
0
0
Kuna sheria mpya inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Senet ambayo sheria hiyo itawaruhusu watoto kuanzia miaka 10 kupewa mipira ya kondomu na dawa za kupanga uzazi.  Sheria ya afya ya uzazi ya  mwaka  2014 ambayo tayari ipo mbele ya Senet, inasema kuwa elimu kwa watoto kuhusu afya ya uzazi na ngono wapewe watoto pengine hata bila ya wazazi kutoa idhini.   Sheria hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>