Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kichanga Chatupwa kwenye Dampo la Taka

$
0
0
Kichanga kinachokadilwa kuwa na umri wa miezi kati ya 6-7 kimekutwa kimetupwa kwenye dambo karibu na mahakama ya mwanzo mkabala na ofisi za manispaa ya Iringa, mkoani Iringa na mwanamke mmoja ambaye hakufahamika mara moja leo. Kamanda wa Polisi mkoani Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha kuwepo kwa tukio hilo na kusema wanamtafuta mwanamke aliyefanya kitendo hicho ili sheria iweze

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>