Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watatu wajeruhiwa kwa Risasi za Moto baada ya kukutwa wakicheza ngoma za...

Watu watatu wakazi wa Mwananyamala Jijini Dar Es Salaam wamejeruhiwa katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma maarufu za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya tarehe 20 June 2014

                            Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  tarehe  20  June  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vitambulisho vya kura kutolewa upya.....Vituo 40,015 kutumiwa kuwaandikisha...

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urembo Wa Batuli Kwishaa .....Aamua kuuza Mihogo Ya Kukaanga Ili Kujikimu...

Star wa filamu nchini mwenye mvuto wa aina yake Yobnesh Yusuph "Batuli" ameamua kuuza mihogo ili kujikimu kimaisha baada ya hali kuwa ngumu.   Hayo yameajiri katika filamu mpya ya Uncle Kiepe ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Mumewe kupandishwa kortini kwa Ubakaji....Flora Mbasha ajikuta...

Wakati jana mumewe Emmanuel Mbasha (32) akipandishwa kizimbani kwa mara ya pili kwa soo la ubakaji wa shemejiye, mwimba Injili kinara Bongo, Flora Mbasha (31) amepitia katika hatua tatu za aibu. Mbasha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani yaiadhibu Uganda kwa Kupinga Ushoga

Marekani imeadhidhibu Uganda kwa kuweka sheria kali ya kupinga mapenzi ya jinsi moja katika taifa hilo. Msemaji wa Whitehouse, Caltlin Hayden ameeleza katika barua yake kwa vyombo vya habari kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa anaswa akifanya Mapenzi na mke wa Rafiki yake Mabibo jijini Dar...

Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.   Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msami akiri kuwa mpenzi wa Irene Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango...

Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya.   Akiongea na Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafahamu Wasanii Wa Afrika Watakaoperform Kwenye Tuzo Za BET 2014

Tuzo za BET mwaka huu zitatolewa wikend ijayo, July 28/29 mwaka huu huko Los Angeles Marekani na kushuhudia wasanii wengi wakubwa duniani wakiperform kwenye jukwaa hilo kubwa..   Majina ya wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Undani wa Sakata la Mnenguaji wa Kundi la Kanga Moko aliyepigwa Risasi na...

Mnenguaji  wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis  ambaye usiku wa Jumatano iliyopita alipigwa risasi mbili mwilini  na mtu aliyedaiwa ni askari polisi, ameweka undani wa sakata hilo. Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakati Mbasha akiwa nje kwa dhamana kesi ya kubaka.....Mchungaji Gwajima...

Wakati  mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani 5 wa CCM na mmoja CUF wavuliwa udiwani na Mahakama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Kagera, imewavua madiwani sita nyadhifa zao baada ya kubainika kuwa, walishindwa kuhudhuria vikao vya kikanuni vya halmashauri ya manispaa hiyo, hivyo kupoteza sifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali mbaya yatokea eneo la Makongo.... Watu 10 wanahofiwa kupoteza maisha

Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.   Ajali hiyo imetokea mchana huu eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babu Seya na Mwanaye Papii Kocha watumbuiza kwenye maadhimisho ya Magereza Day

Msanii Nguza Viking (kulia) na Mwanae Jonson Nguza Maarufu kwa jina la Papii Kocha ambao wanatumikia Kifungo chao kwenye Gereza la Ukonga jijini Dar,wakiwa na Bendi ya Wafungwa wakiimba Wimbo Maalum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Moto mkubwa Wazuka Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) Usiku

Uchunguzi umeanza leo  asubuhi kujua chanzo cha kuzuka kwa moto karibu na hostel za wasichana katika skuli ya sanaa na lugha (School of Humanities) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) usiku wa kuamkia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuh Mziwada: Utaficha wapi Sura yako Shiole akikupiga chini?

Siku chache baada ya mpenzi wa Zuwena Mohamed 'Shiole'  Nuhu  Mziwanda  kuweka kwenye mtandao   wa  'instagram' picha zikionyesha tatoo aliyojichora yenye jina la mpenzi wake huyo, wadau wa filamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwimbaji wa kike wa Nigeria ajitoa kwa Boko Haram ili wasichana 200 waachwe...

Mwimbaji wa kike wa Nigeria mwenye umri wa miaka 23 anaefahamika kwa jina la Adokiye ameeleza anachofikiria kuhusu wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi la Boko Haram.   Mwimbaji huyo ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha nyingine 6 za Ajali ya dalala iliyoua watu zaidi ya 10 jijini Dar leo...

Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.   Ajali hiyo imetokea mchana huu eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa atangaza Uamuzi Mgumu

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ametangaza kuanza kwa hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za Serikali za Vijiji mashamba 21 ya wawekezaji  yenye ukubwa wa zaidi ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>