Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watatu wajeruhiwa kwa Risasi za Moto baada ya kukutwa wakicheza ngoma za Vigodoro bila nguo

Watu watatu wakazi wa Mwananyamala Jijini Dar Es Salaam wamejeruhiwa katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma maarufu za Kigodoro, ambazo tayari zimekwishapigwa marufuku na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam.   Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi na nusu jioni katika eneo la shule ya msingiImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>