Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi nchini Kenya yamkamata mtu anayedaiwa kuendesha Account ya Twitter inayomilikiwa na Al Shabaab

$
0
0
Maafisa wa polisi wa Kenya wamemtia nguvuni mshukiwa anayetuhumiwa kuendesha akaunti ya Twitter ambayo ina uhusiano na kundi la kigaidi la Al shabaab na uliotoa habari kwamba Al shabaab walihusika kutekeleza mauaji eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu. Kwa mujibu wa Ripota  Julius Kepkoech  toka  Kenya, Katibu wa wizara ya Mambo ya ndani na usalama wa taifa, Mutea Iringo amethibitisha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>