Maafisa wa polisi wa Kenya wamemtia nguvuni mshukiwa anayetuhumiwa
kuendesha akaunti ya Twitter ambayo ina uhusiano na kundi la kigaidi la
Al shabaab na uliotoa habari kwamba Al shabaab walihusika kutekeleza
mauaji eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu.
Kwa mujibu wa Ripota Julius Kepkoech toka Kenya, Katibu wa
wizara ya Mambo ya ndani na usalama wa taifa, Mutea Iringo
amethibitisha
↧