Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aachwa na mkewe baada ya madaktari kuupunguza uume wake kwa bahati mbaya

Madaktari nchini Canada wameingia katika matitizo makubwa baada ya kukosea na kumkata mwanaume mmoja sehemu ya uume wake na kupunguza kwa urefu wa inch 1 (sentimeta 2.5).   Kwa mujibu wa QMI la Canada,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tajiri adaiwa kumbaka mtumishi wake (house girl) mwenye umri wa miaka 14...

Mfanyakazi wa ndani, miaka 14 mkazi wa kijiji  cha Mdenge, Kata ya Likombe katika Wilaya ya Mtwara, amebakwa na mwajiri wake usiku wa kuamkia jana na kumsababishia maumivu makali na kisha kutokomea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Vicky Kamata atoa wimbo mpya uitwao....'Moyo wa Mtu Kichaka'.....Hii...

Mh. Vicky Kamata aliwasili Bungeni Dodoma na kama ilivyo ada alipokewa vizuri na kila mbunge aliyekutana naye.    Wabunge wengi walimpa pole baada ya kuugua siku chache kabla ya ndoa yake na kumtakia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Update: Mume wa Flora Mbasha akamatwa na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za...

MSANII Emmanuel Mbasha (32) na mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, amefikishwa  Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo la ubakaji.Mshtakiwa huyo ambaye ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ndio kauli ya Rais Kenyatta baada ya mashambulizi mawili yaliyoua Wakenya 70

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa mauaji yaliyofanywa katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Kenya hayakufanywa na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al Shabaab.   Kauli ya Rais Kenyatta inakuja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelezo Muhimu kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Tano Mwaka 2014

Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano katika shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 umekamilika. Uchaguzi umefanyika kwa kuzingatia takwimu za matokeo ya watahiniwa waliofanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Tano mwaka 2014

Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano katika shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 umekamilika. Uchaguzi umefanyika kwa kuzingatia takwimu za matokeo ya watahiniwa waliofanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 18 June 2014

                      Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  tarehe  18  June  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha na maelezo ya bomu lililoonekana Mtwara jioni ya Juni 16

Hili ni bomu ambalo jioni ya June 16 2014 kwenye kijiji cha Mdui kata ya Mawala wilaya ya Mtwara vijijini kwenye mkoa wa mtwara liliokotwa na watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo la makaburi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana Litalipuka muda wowote.....Asema vijana...

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza hivi karibuni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke Ajifungua Mtoto Mwenye Kichwa Cha Ajabu Mkoani Singida.....Hakuwahi...

Mwanamke  mmoja  mkazi  wa  Kintinku, Wilayani  Manyoni  mkoani  Singida  amejikuta  akimwaga  machozi  baada  ya   kujifungua  mtoto  mwenye  kichwa  cha  ajabu (  tepe tepe).  Tukio  hilo  limetokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hili ni Dili alilolipata Jokate Mwegelo kwenye sabuni inayotumia sura yake

Mwanamitindo Jokate Mwegelo ameibuka na ubunifu mpya wa sabuni ya kuogea inayokwenda kwa jina la Mo  yenye  sura  yake. Dili  hili  amelipata  ikiwa ni baada ya kutesa na bidhaa ya ndala  iliyokuwa  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya Ridhiwani Kikwete kuhusu NEC na kwa wanaosema anamiliki vituo vya...

Inawezekana hili likawa moja kati ya maswali uliyonayo na hujawahi kupata nafasi ya kumuuliza muhusika au inawezekana ikawa ni ishu ambayo umewahi kuisikia au kuisoma kwenye chombo chochote cha habari....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili wa Nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji...

1. Orodha ya majina ya wafuatao, ni wasailiwa waliopita awamu ya kwanza ya usaili wa kuandika (Aptitude test).   2. Usaili wa awamu ya Pili ni wa ana kwa ana (Oral interview). Utafanyika katika Bwalo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 19 June 2014

                          Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe 19  June  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume wa Flora Mbasha Apata Dhamana.....

MUME wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na kesi ya ubakaji amepewa dhamana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar baada ya kutimiza masharti.   Mbasha amefikishwa mahakamani hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maneno ya Director Mtitu kuhusu Kesi ya Emanuel Mbasha na Roho ya Kikatili...

Zikiwa  siku  chache  zimepita  tangu kesi ya Emmanuel Mbasha ambaye ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili Flora Mbasha ianzwe kusikilizwa kwenye mahakama ya wilaya ya Ilala Dar es salaam ,baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wa CHADEMA waumbuana Bungeni

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amemshukia Leticia Nyerere (Viti Maalumu-Chadema) kwa kumtaka aende CCM kwa sababu bado Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete ana nafasi za kuteuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kituo cha TV chafungiwa baada ya kuonyesha Picha za Rais Museven akiwa...

Serikali ya Uganda imekifungia kituo kikubwa cha Televisheni cha nchi hiyo NTV kuripoti habari zozote zinazomhusu Rais baada ya kurusha hewani picha zinazomuonyesha Rais Yoweri Museveni amesinzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi nchini Kenya yamkamata mtu anayedaiwa kuendesha Account ya Twitter...

Maafisa wa polisi wa Kenya wamemtia nguvuni mshukiwa anayetuhumiwa kuendesha akaunti ya Twitter ambayo ina uhusiano na kundi la kigaidi la Al shabaab na uliotoa habari kwamba Al shabaab walihusika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>