Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume wa Flora Mbasha Apata Dhamana.....

$
0
0
MUME wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na kesi ya ubakaji amepewa dhamana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar baada ya kutimiza masharti.   Mbasha amefikishwa mahakamani hapo akitokea Gereza la Keko alikopelekwa Juni 17 mwaka huu akikabiliwa na kesi ya kumbaka shemeji yake.   Mbasha baada ya kutolewa kwenye mahabusu ndogo ya mahakamani hapo alionekana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>