MUME
wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na kesi ya ubakaji
amepewa dhamana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar baada ya
kutimiza masharti.
Mbasha
amefikishwa mahakamani hapo akitokea Gereza la Keko alikopelekwa Juni
17 mwaka huu akikabiliwa na kesi ya kumbaka shemeji yake.
Mbasha
baada ya kutolewa kwenye mahabusu ndogo ya mahakamani hapo alionekana
↧