Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hii ndio kauli ya Rais Kenyatta baada ya mashambulizi mawili yaliyoua Wakenya 70

$
0
0
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa mauaji yaliyofanywa katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Kenya hayakufanywa na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al Shabaab.   Kauli ya Rais Kenyatta inakuja siku moja baada ya kundi hilo kukiri kufanya mauaji yaliyotokea Mpeketoni Jumapili usiku  na  kuua  watu  zaidi  ya  50.   Akitoa hotuba yake ya kitaifa, Rais Kenyatta pia amesema maafisa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>