Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu adaka Mimba ya Diamond Plutnumz

'Beautiful  Onyinye'  na  kipenzi  cha  Diamond, Wema  Sepetu  sasa  ni  mjamzito. Baada  ya  misukosuko  ya  muda  mrefu  ikiwemo  kuporwa  na  wasichana  wenzake  penzi  lake  la  Diamond, sasa  Wema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Big Brother Africa 2014 Yatangaza Tarehe Ya Usaili Kwa Tanzania.

Shindano la Big Brother Africa 2014 limetangaza tarehe za usaili katika nchi mbalimbali za Afrika zitakazoshiriki huku kwa Tanzania tarehe ya usaili ikipangwa kuwa 11-12 July katika hoteli ya New...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunt Ezekiel: Bado Sijaona Mwanaume wa Kunizalisha

Wakati  rafiki  yake  kipenzi, Wema  Sepetu  akidaiwa  kunasa  mimba  ya  Diamond , Aunt  Ezekiel  yeye  amesema  bado  hajaona  mwanaume  anayeweza  kumtia  mimba  na  hatimaye  kuitwa  baba  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wafanikiwa kumkamata Mwanamke aliyekuwa akimtesa binti yake wa kazi...

Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha makubwa kichwani.    Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aagiza waliolipua Bomu Zanzibar wasakwe na kukamatwa haraka

RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwafikisha mbele ya vyombo vya haki watu wote waliohusika katika ulipuaji bomu lililosababisha kifo na kujeruhi watu saba mjini Unguja,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 16 June 2014

                            Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  16  June  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Mbasha na Mumewe kumbe wana Laana ya Askofu Kulola......Walimtuhumu...

SAKATA  la  tuhuma  za  ubakaji  zinazomkabili  mume  wa  Flora  Mbasha  sasa  limechukua  sura  mpya  baada  ya  maovu  yao  mengine  kuanikwa  hadharani  na  ndugu  wa  Flora..... Msichana  mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jackline Wolper: Msaka Pesa toka Machame aliyeishia kwa Matapeli wa Mapenzi...

Jackline  Wolper  ni  mmoja  kati  ya  warembo  wenye  umaarufu  mkubwa  nchini  na  katika   soko  la  Filamu  za  Tanzania. Anamvuto  unaokubalika  na  wengi  na  ameweza  kujipatia  umaarufu  mkubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya kukwapuliwa kwa Account ya Faceboook ya Meya Jerry Slaa

Napenda kuwajulisha marafiki zangu wote kwamba akaunti yangu ya Facebook ime-hack-iwa na kuanza kutuma ujumbe kwa marafiki zangu kuwataka waingie kwenye link kwani nina maongezi ya siri. Tafadhali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha mpya zilizochapishwa za mauaji Iraq na miili ikiwa imetupwa kwenye mitaro

Vuguvugu la Sunni lenye msimamo mkali la ISIS ambalo limeteka maeneo ya Kaskazini mwa Iraq limesambaza picha ambazo zinaonyesha jinsi wapiganaji wake walivyoangamiza idadi kubwa ya wanajeshi wa Iraq....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashambulizi mapya Kenya....Watu 48 wauwawa

WATU 48 wameripotiwa kuuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta kuchomwa moto baada ya shambulio lililotokea eneo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya jana usiku.   Kituo cha Polisi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ghana vs USA: Muigizaji mrembo wa Ghana aahidi kumpiga busu mfungaji wa goli...

Wakati Ghana inajiandaa kukabiliana na Marekani leo katika Kombe la Dunia, mcheza filamu maarufu wa Ghana Nikki Samonas amesema atampa busu zito mchezaji yeyote wa Ghana atakayefunga bao la kwanza hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ateta na wasanii mjini Dodoma

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisistiza jambo wakati akizungumza na msanii wa kizazi kipya Ommy Dimpoz ikulu ndogo mjini Dodoma wakati wa chakula cha usiku alichowaandalia wasanii walioshiriki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana akutwa amekufa kwenye kituo cha mabasi yaendayo kasi jijini Dar

Mwili  wa  marehemu  .... Kijana mmoja wa kiume aliyedaiwa kuwa ni mfanyabiashara ndogondogo amekutwa amefariki katika kituo cha mabasi yaendayo kasi Manzese, jijini Dar, leo asubuhi.  Inasemekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tabora: Walimu 298 walala sakafuni kwa siku 4 kufuatilia mishahara...

Walimu  wakiwa wamelala sakafuni katika ofisi za halmashauri. JUMLA ya Walimu 298 wa shule za msingi na sekondari walioajiriwa mwaka huu Wilayani Igunga mkoani Tabora, wameendelea na mgomo wa kubaki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaovaa Vibaya marufuku Mahakamani Kinondoni......Mavazi ambayo hayatakiwi...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imeweka kibano kwa watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo kwa kuwazuia mlangoni.    Miongoni mwa mavazi ambayo akivaa mtu anazuiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya tarehe 17 June 2014

                      Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  tarehe  17 June  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Dawa ya Habbat Soda yenye uwezo wa kutibu Magonjwa 75 kama vile...

Habbat Soda  au  Nigella  Sativa kwa  jina  la  kisayansi   ni  dawa  ya  asili yenye  uwezo  wa kutibu na  kuponyesha  kabisa   magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  yanayo mkabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ni mbaya Kenya: Al- Shabaab wameua watu wengine 10 usiku wa kuamkia leo...

Shambulizi  jingine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu , pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10.   Shambulizi la leo limetokea siku moja tu baada ya Al Shabaab kukiri kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaume aharibu mali zote za mpenzi wake baada ya kunyimwa tendo la ndoa

RB nambari TBT/RB/3478/2014  ya Kituo cha Polisi Tabata, jijini Dar es Salaam ina kesi ya dereva taksi aliyepatikana kwa jina moja la Lindoya akidaiwa kuharibu mali za Asia Hakika kwa sababu eti...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>