Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tabora: Walimu 298 walala sakafuni kwa siku 4 kufuatilia mishahara Igunga.......Hawajalipwa mishahara tangu mwezi Aprili

$
0
0
Walimu  wakiwa wamelala sakafuni katika ofisi za halmashauri. JUMLA ya Walimu 298 wa shule za msingi na sekondari walioajiriwa mwaka huu Wilayani Igunga mkoani Tabora, wameendelea na mgomo wa kubaki katika na kulazimika kulala katika viti na meza katika ukumbi wa Halmashauri hiyo siku nne mfululizo wakishinikiza serikali ya Wilaya ya Igunga kuwalipa mishahara yao.Wakizungumza na FikraPevu leo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>