Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa
kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha
makubwa kichwani.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius
Wambura akizungumza na Mwananchi jana alisema walifanikiwa kumnasa
juzi, mwanamke huyo akiwa mafichoni Mbagala wilayani Temeke.
“Tumefanikiwa kumnasa juzi usiku akiwa mafichoni
kwa
↧