Jackline Wolper ni mmoja kati ya warembo wenye umaarufu mkubwa nchini na katika soko la Filamu za Tanzania.
Anamvuto unaokubalika na wengi na ameweza kujipatia umaarufu mkubwa sana kupitia filamu alizoshirikishwa na alizozifanya chini ya kampuni yake mwenyewe. Pia ni mwandishi mzuri wa Script na muongozaji mzuri wa filamu....
Alizaliwa Moshi
↧