Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mashambulizi mapya Kenya....Watu 48 wauwawa

$
0
0
WATU 48 wameripotiwa kuuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta kuchomwa moto baada ya shambulio lililotokea eneo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya jana usiku.   Kituo cha Polisi cha Mpeketoni, hoteli ya Breeze View na Taweel ndivyo vilivyochomwa moto na moshi ulikuwa bado unafuka leo  asubuhi .   Imeelezwa kuwa washambuliaji walitokomea na silaha na magari ya polisi kutoka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles