RB nambari TBT/RB/3478/2014 ya Kituo cha Polisi Tabata, jijini Dar
es Salaam ina kesi ya dereva taksi aliyepatikana kwa jina moja la
Lindoya akidaiwa kuharibu mali za Asia Hakika kwa sababu eti alinyimwa
unyumba.
Asia Hakika anayedai kuharibiwa mali zake na dereva taksi aitwaye Lindoya.
Mlalamikaji Asia, mkazi wa Tabata – Chama na mtuhumiwa Lindoya mwenye
makazi yake Mbezi –
↧