Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Wema kuhusu uhusiano wake na Diamond: ....."Tunapendana mpaka...

Wema Sepetu amesema uhusiano wake na Diamond Platnumz kwa sasa ni imara kwakuwa wamepitia mambo mengi pamoja yaliyowafunza mengi. Akiongea na Bongo5 hivi karibuni akiwa jijini Durban, Afrika Kusini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Mbasha Avamiwa nyumbani kwake.....

SIKU chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo mengine yameibuka.    Yaliyoibuka safari hii ni taarifa kwamba,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kombe la Dunia: Uholanzi yaitandika Hispania mabao 5-1

Robin Van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia. ******* Mabingwa watetezi wa kombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kombe la Dunia: Mexico yaibuka na Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Cameroon

Oribe Peralta akiipatia bao Mexico katika dakika ya 61 ya mchezo. Cameroon wameanza vibaya Fainali za Kombe la Dunia baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Mexico kwenye mechi iliyopigwa usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumamosi ya tarehe 14 June 2014

                          Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  tarehe  14  June  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simulizi la Kusisimua: Mwanamke Msagaji Ameniambuka Virusi vya UKIMWI

Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi. Mwanadada huyu anabainisha namna alivyo pata maambukizi ya VVU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake

Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.   Hata hivyo, wataalamu wa afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Baba Mlezi wa Mtoto wa Boksi akilia kwa uchungu Mahakamani baada ya...

Mama mzazi wa Omari Mtonga, Devotha Dibagula wa pili kutoka kushoto akimwangalia mwanaye Omari Mtonga anayeangua kilio baada ya mahakama ya hakimu mkazi kuwabadilishia mashtaka kutoka yale ya kula...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bibi kizee Mchawi adondoka toka Angani jijini Mwanza akiwa bila...

Jana  jiji  la  Mwanza  lilikumbwa  na  kituko  cha  aina  yake  baada  ya  bibi  mmoja   kukutwa  akiwa  uchi  wa  mnyama  baada  ya  kudondoka  toka  angani  akiwanga.... Baada  ya  kuhojiwa  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Undani wa Sakata la Hausigeli mwingine ( binti wa kazi ) aliyekatwa katwa...

Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa  kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mheshimiwa Komba amsifia mkewe.....Asema hajawahi ona mwanamke mzuri na...

"Sijawahi  kuona  mwanamke  mzuri  na  mwenye  imani  kama  mama  Komba ( Salome ) jamani, unajua  kulea  watoto  ambao  mama  zao  wapo  duniani  ni  kazi  sana," alisema  Komba  katika  kipindi  cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kigogo wa Tanesco amkana mkewe kortini katika kesi ya matumizi mabaya ya...

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi William Mhando, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, kuwa mshitakiwa wa pili (Eva Mhando) katika kesi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Hatimaye mwili wa msanii George Tyson wazikwa leo nchini Kenya

Mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya umezikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kwa umma kuhusu zoezi la Usaili wa nafasi ya mkaguzi msaidizi wa...

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imebaini taarifa mbalimbali zinazozungumzwa na ambazo zimetolewa katika baadhi ya vyombo vya habari kuhusu zoezi la usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi laanza kuwasaka waliohusika na mlipuko wa bomu huko Zanzibar...

Wakazi wa Zanzibar wako katika hali ya wasiwasi baada ya  kushuhudia tukio lengine la  kulipuka bomu kwa viongozi wa dini huku safari hii likiua kijana mmoja na kujeruhi saba.   Kwa mujibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kombe la Dunia: Uruguay yakalia kuti la Moto....Yachapwa 3-1 na Costa Rica,...

Edinson Cavan aliifungia Uruguay bao la kuongoza kwa njia ya mkwaju wa penati. Joel Campbell, Oscar Duarte na Marcos Urena waliifungia  Costa Rica mabao yaliyowapa ushindi wa 3-1 Luis Suarez alikaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Colombia waanza vizuri kombe la dunia kwa kuilaza Ugiriki 3-0

Goli la mapema lililofungwa na mlinzi Pablo Armero katika dakika ya tano ya mchezo, kisha mshambuliaji Abel Aguilar Gutierez katika dakika ya 58 akifunga kwa mguu wa kushoto katika dakika ya 58 na lile...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

England yaanza vibaya kombe la dunia.....Yachapwa 2-1 na Italia

Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Timu  ya Taifa ya England  imeanza vibaya kombe la dunia baada ya kukubali kichapo cha mabao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mpya wa Malawi kuoa wiki Ijayo baada ya kuishi maisha ya ukapera kwa...

Wiki mbili baada ya kuitwaa rasmi Ikulu ya Malawi, Rais mpya wa nchi hiyo, Profesa Peter Mutharika anatarajiwa kufunga ndoa na Gertrude Maseko Jumamosi ijayo, baada ya kuishi maisha ya ukapera kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utabiri wa Nabii: Mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva atafia Jukwaani kabla ya...

Nabii  anayetikisa  kwa  maono  ya  vitu  mbalimbali  Hosea  Chamungu  'Mzee  wa  maono'  ameibuka  na  jambo  zito  baada  ya  kufunga  kwa  siku  tatu  mfululizo  huku  akifanya  maombi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>