Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la Polisi laanza kuwasaka waliohusika na mlipuko wa bomu huko Zanzibar ambapo mtu mmoja amefariki na wengine 7 wamejeruhiwa

$
0
0
Wakazi wa Zanzibar wako katika hali ya wasiwasi baada ya  kushuhudia tukio lengine la  kulipuka bomu kwa viongozi wa dini huku safari hii likiua kijana mmoja na kujeruhi saba.   Kwa mujibu wa mkurugenzi wa upelelzi na makosa ya jinai zanzibar Sacp Yussf Ilembo,  bomu hilo lilitupwa na mtu au watu wasijulikana ambao walikuwemo ndani ya gari lilkuwa halina  namba za usajili ....  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>