Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Undani wa Sakata la Hausigeli mwingine ( binti wa kazi ) aliyekatwa katwa kichwani na kung'atwa na bosi wwake

$
0
0
Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa  kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka miwili.    Merina amelazwa Moi baada ya kupewa rufaa na Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa amelazwa awali, kutokana na majeraha hayo ambayo yanadaiwa kusababishwa kung’atwa kwa meno na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles