Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mheshimiwa Komba amsifia mkewe.....Asema hajawahi ona mwanamke mzuri na mvumilivu kama mkewe

$
0
0
"Sijawahi  kuona  mwanamke  mzuri  na  mwenye  imani  kama  mama  Komba ( Salome ) jamani, unajua  kulea  watoto  ambao  mama  zao  wapo  duniani  ni  kazi  sana," alisema  Komba  katika  kipindi  cha  mkasi  kinachorushwa  na  East  African  Television Mheshimiwa  Komba  alisema  ana  watoto  tisa  wakiwemo  wa  ndani  ya  ndoa  na  nje ya  ndoa  na  wote  wamelelewa  na  mke  wake 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>