Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kigogo wa Tanesco amkana mkewe kortini katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka

$
0
0
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi William Mhando, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, kuwa mshitakiwa wa pili (Eva Mhando) katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, si mke wake.  Mhandisi Mhando alitoa madai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alipokuwa akisomewa maelezo ya awali katika kesi hiyo na Wakili wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>