SIKU chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba
Injili mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo
mengine yameibuka.
Yaliyoibuka safari hii ni taarifa kwamba, juzikati, Flora alivamiwa
na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Tabata Kimanga jijiini Dar dakika
chache baada ya yeye kuingia na gari akitokea mafichoni anakoishi kwa
sasa.
Kwa
↧