Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Utabiri wa Nabii: Mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva atafia Jukwaani kabla ya kumalizika kwa mwaka huu wa 2014

$
0
0
Nabii  anayetikisa  kwa  maono  ya  vitu  mbalimbali  Hosea  Chamungu  'Mzee  wa  maono'  ameibuka  na  jambo  zito  baada  ya  kufunga  kwa  siku  tatu  mfululizo  huku  akifanya  maombi  nyikani...... Akiongea  na  mwanahabari  wetu  mapema  wiki  hii, nabii  Chamungu  alisema  kuwa  amekuwa  na  desturi  ya  kufunga  siku  tatu  kila  wiki  ili  kupata  maono  ya  mambo  mbalimbali 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>