Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na
wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na
kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.
Hata hivyo, wataalamu wa afya wanadai kuwa dawa
hizo zinasababisha uvimbe kwenye kizazi kutokana na kemikali za dawa
hizo ambazo huingia mwilini kupitia majeraha au ngozi wakati wa kupaka.
Daktari wa Manispaa ya Ilala,
↧