Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha: Baba Mlezi wa Mtoto wa Boksi akilia kwa uchungu Mahakamani baada ya kesi kubadilishwa na kuwa ya MAUAJI

$
0
0
Mama mzazi wa Omari Mtonga, Devotha Dibagula wa pili kutoka kushoto akimwangalia mwanaye Omari Mtonga anayeangua kilio baada ya mahakama ya hakimu mkazi kuwabadilishia mashtaka kutoka yale ya kula njama na kumtesa Nasra Rashidi (4) wakati wa uhai wake na kuwa kesi ya mauaji. ********* Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro  juzi  iliwabadilishia mashtaka washitakiwa watatu katika kesi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>