Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

England yaanza vibaya kombe la dunia.....Yachapwa 2-1 na Italia

$
0
0
Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Timu  ya Taifa ya England  imeanza vibaya kombe la dunia baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Italia maarufu kwa jina la Azzuri mjini Manaus  katika mchezo wa kundi D.   Italia walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 35

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>