Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wabunge wa CHADEMA waumbuana Bungeni

$
0
0
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amemshukia Leticia Nyerere (Viti Maalumu-Chadema) kwa kumtaka aende CCM kwa sababu bado Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete ana nafasi za kuteuwa wabunge. Hadi sasa Rais Kikwete ameshateua wabunge wanane kati ya nafasi 10 alizopewa kikatiba.    Mdee aliyasema hayo jana alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles