Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwimbaji wa kike wa Nigeria ajitoa kwa Boko Haram ili wasichana 200 waachwe huru....Asema yupo tayari kuhudumia wanaume 12 kwa Usiku mmoja

$
0
0
Mwimbaji wa kike wa Nigeria mwenye umri wa miaka 23 anaefahamika kwa jina la Adokiye ameeleza anachofikiria kuhusu wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi la Boko Haram.   Mwimbaji huyo ambaye anafahamika sana kwa comments  zinazotengeneza mijadala hudai kuwa yeye ni bikira. Mwisoni mwa wiki hii ameiambia Showtime kuwa anajitoa yeye kwa kundi la Boko Haram kama inawezekana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>