Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha nyingine 6 za Ajali ya dalala iliyoua watu zaidi ya 10 jijini Dar leo mchana

$
0
0
Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.   Ajali hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>