Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali mbaya yatokea eneo la Makongo.... Watu 10 wanahofiwa kupoteza maisha

$
0
0
Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.   Ajali hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake. <!

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>