Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madiwani 5 wa CCM na mmoja CUF wavuliwa udiwani na Mahakama

$
0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Kagera, imewavua madiwani sita nyadhifa zao baada ya kubainika kuwa, walishindwa kuhudhuria vikao vya kikanuni vya halmashauri ya manispaa hiyo, hivyo kupoteza sifa za kuendelea kuwa madiwani. Madiwani hao waliovuliwa nyadhifa zao jana, pia wametakiwa kulipa gharama za kesi hiyo.   Akisoma hukumu hiyo kwa zaidi ya saa mbili jana, Hakimu Mfawidhi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>