Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakati Mbasha akiwa nje kwa dhamana kesi ya kubaka.....Mchungaji Gwajima apasua Jipu, Aitisha kikao kizito kumnusuru Mbasha....Akiri Injili kutikisika

$
0
0
Wakati  mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo.   Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la Keko, Dar baada ya kupandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>