Kufuatia Mahakama ya Ilala jijini Dar kumuachia kwa dhamaa Emmanuel Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji wa nyimbo za Injili maarufu nchini Flora Mbasha anayekabiliwa na tuhuma nzito za kumbaka mdogo wa mkewe, inaelezwa kuwa siku moja tu aliyokaa mahabusu ilimfanya kubadilika muonekano kutokana na kudhoofika.....
Emmanuel Mbasha ambaye
↧