Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali ya Kenya yawataka Wakenya kuangalia mechi za Kombe la dunia nyumbani.

$
0
0
Serikali ya Kenya imewataka wananchi kuangalia mechi za michuano ya kombe la dunia katika maeneo ya majumbani badala ya sehemu za wazi zilizojazana na ambazo hakuna ulinzi.   Ushauri huo umetolewa kufuatia siku mbili za mashambulizi katika mji wa Pwani wa nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu 60. Mashambulizi hayo yalianzia katika eneo la Mpeketoni ambako mashabiki walikuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>