Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Athari za Mgomo wa Daladala Mkoani Morogoro....Wananchi wamelazimika kutumia...

  Hali si  nzuri mkoani  Morogoro leo hii ambapo madereva daladala wamegoma kutoa huduma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga  kukamatwa  ovyo  na  na  kutozwa  faini kubwa na mamlaka za usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugu na jamaa wa abiria waliopotea na ndege ya Malaysia waishutumu...

Ndugu na jamaa wa abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia iliyopotea kimaajabu March 8 mwaka huu, wametishia kugoma kula ikiwa hawatapata taarifa kamili kuhusu ndege hiyo kutoka kwa maafisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yaukana Waraka wa siri unaohusu mchanganuo wa matumizi ya Sh Milioni 560...

Katibu mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na wanahabari wa Iringa katika ofisi za chama hicho mapema leo. Katibu mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete aahidi Trekta kwa kila kijiji cha jimbo la Chalinze endapo...

MGOMBEA wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete ameahidi kuhakikisha vijiji vyote kwenye jimbo hilo vinakuwa na matrekta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yazindua kampeni zake kwa kishindo Chalinze.....Maelfu ya Wananchi...

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akicheza ngoma ya asili. Mama Salma Kikwete akimlaki kijana wake,ambaye ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shabiki afariki dunia wakati akishangilia bao la Yanga Uwanja wa Taifa

Shabiki wa Timu ya Yanga SC, Deodatus Isaya Lusinde, mkazi wa Kipunguni A, amefariki dunia  jana jioni  baada ya kuanguka ghafla wakati akishangilia bao la Yanga lililofungwa na Didier Kavumbagu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbinu za kumhujumu Rais Kikwete zafichuliwa.....Sitta atoa onyo kali kwa...

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamewaonya wenzao ambao wamepanga kumzomea Rais Jakaya Kikwete wakati akitarajiwa kulihutubia bunge hilo kesho.   Onyo hilo walilitoa jana mjini Dodoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu wawili wafariki dunia, saba wajeruhiwa katika ajali ya basi na bodaboda...

Watu wawili wamefariki dunia  baada ya bodaboda yenye usajili namba T 293 ARM kugongwa na basi la abiria la kampuni ya Maning Nice lenye usajili namba T624 CQD ambalo nalo lilipinduka baada ya ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kwa umma kuhusu ukaguzi wa leseni za biashara.....

Afisa Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia) akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kuhamia Dodoma Kesho....Hotuba ya Rais Kikwete yasubiriwa kwa...

UONGOZI wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya kihistoria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa UDOM ajirusha toka Ghorofa ya Pili hadi chini....

  Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.   Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mhaya, Mwaka wa Tatu, Kitivo cha Sayansi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea siku 13 zilizopita yaonekana umbali wa...

Msemaji wa masuala ya usalama wa safari za ndege Australia, John Young, akiongea na waandishi wa habari. Mabaki ya  ndege pichani ambayo kimoja kina ukubwa wa mita 24, yameonekana umbali wa kilomita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Biashara ya Mastaa kujiuza nje ya nchi: Shumileta adaiwa kumuuza Lungi kwa...

Lungi Maulanga. ** Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Sijaona mwanaume mwenye vigezo vya kunizalisha, Walio wengi na matapeli...."...

Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni tapeli  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kishindo kikuu chasubiriwa Dodoma leo....Wengi wataka hotuba ya Rais Kikwete...

Ile hofu ya kuviziana na mbinu za kuteka Bunge Maalum la Katiba, leo ama itaendelea kutawala mchakato wa kutunga katiba hiyo au utafikia mwisho kutegemeana na maudhui ya hotuba ya Rais Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu wapya waahidiwa kuishi Kifalme mkoani Kigoma....Watapokelewa katika...

KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa muhimu kwa wajumbe wa bunge maalumu la katiba

Katibu wa Bunge Maalum Bwana Yahaya Khamis Hamad anawatangazia Wajumbe wote wa Bunge Maalum kuwa wafike kwenye viwanja vya Bunge leo saa 8:45 mchana ili kushiriki kikao cha Bunge Maalum kitakachoanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kigogo wa CHADEMA apinga maamuzi ya chama hicho kumvua madaraka

MWENYEKITI wa CHADEMA Wilaya ya Ngorongoro, Revocatus Parapara, amepinga vikali hatua ya uongozi wa chama hicho ngazi ya mkoa kumvua madaraka ya uenyekiti.   Akizungumza na waandishi wa habari Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picolo Beach Hoteli iliyopo Kawe, Dar es Salaam yateketea kwa moto

  Sehemu ya Hoteli ya Picolo Beach iliyopo Kawe, Dar es Salaam kwa sasa  inateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.     Credit: GPL <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali mbaya iliyohusisha magari 6 yatokea Ubungo jijini Dar katika lango kuu...

Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali hiyo  imehusisha magari 6 likiwemo UDA .Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.       <!--...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>