Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kishindo kikuu chasubiriwa Dodoma leo....Wengi wataka hotuba ya Rais Kikwete itulize upepo mbaya

$
0
0
Ile hofu ya kuviziana na mbinu za kuteka Bunge Maalum la Katiba, leo ama itaendelea kutawala mchakato wa kutunga katiba hiyo au utafikia mwisho kutegemeana na maudhui ya hotuba ya Rais Jakaya Kikwete,atakayowasilisha bungeni mjini Dodoma  leo  saa  kumi  jioni. Rais Kikwete atahutubia Bunge hilo leo likiwa tayari kwa kuanza kazi ya kuchambua Rasimu ya Katiba ambayo iliwasilishwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>