Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Sijaona mwanaume mwenye vigezo vya kunizalisha, Walio wengi na matapeli...." Maya

$
0
0
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni tapeli  wa  mapenzi. Akizungumza nasi hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja. <!--

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>