Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walimu wapya waahidiwa kuishi Kifalme mkoani Kigoma....Watapokelewa katika vituo vya mabasi na Reli kwa mabango.....Wavuvi kila siku kuwaletea Samaki nyumbani kwao

$
0
0
KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Miriam Mbaga, alitangaza mbinu hizo jana wakati alipozungumza kwenye kikao cha maandalizi ya mapokezi hayo.   Alisema pamoja na maandalizi mengine,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>