Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu wawili wafariki dunia, saba wajeruhiwa katika ajali ya basi na bodaboda mkoani Lindi

$
0
0
Watu wawili wamefariki dunia  baada ya bodaboda yenye usajili namba T 293 ARM kugongwa na basi la abiria la kampuni ya Maning Nice lenye usajili namba T624 CQD ambalo nalo lilipinduka baada ya ajali hiyo katika kijiji cha Ngongo mkoani Lindi  na abiria saba walijeruhiwa. Majina ya marehemu na ya majeruhi hayakuweza kupatikana mara moja. Picha na Abdulaziz Video.<!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>