Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali kuhamia Dodoma Kesho....Hotuba ya Rais Kikwete yasubiriwa kwa hamu...Marais wastaafu na Mawaziri wakuu wastaafu, wataambatana naye bungeni

$
0
0
UONGOZI wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya kihistoria itakayotolewa na Rais Jakaya Kikwete mbele ya Bunge Maalumu la Katiba.   Hotuba hiyo ya Rais inasubiriwa kwa hamu na Watanzania, kutoa dira kwa wajumbe wa Bunge hilo Maalumu la Katiba, wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>